Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:4 - Swahili Revised Union Version

Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akaandaliwa chakula, lakini akasema, Sili mpaka niseme kwanza maneno yangu. Akamwambia, Haya, sema.


Naye akawaambia, Msinikawilishe, mradi BWANA amefanikisha njia yangu; nipeni ruhusa niende kwa bwana wangu.


Akatandika punda, akamwambia mtumishi wake, Mwendeshe, twendelee mbele. Usinipunguzie mwendo, nisipokuambia.


Ndipo Elisha akamwambia Gehazi, Jikaze viuno, ukachukue fimbo yangu mkononi mwako, ukaende zako; ukikutana na mtu, usimsalimu; na mtu akikusalimu, usimjibu; ukaweke fimbo yangu juu ya uso wa mtoto.


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Akawaita wale Kumi na Wawili, akaanza kuwatuma wawili wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu;


Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu? Wakasema, La!


Tena Daudi akamwambia Ahimeleki, Na hapa chini ya mkono wako, je! Hapana mkuki, au upanga? Kwa maana sikuleta upanga, wala silaha zangu, kwa sababu ile shughuli ya mfalme ilitaka haraka.