Mwanzo 24:56 - Swahili Revised Union Version56 Naye akawaambia, Msinikawilishe, mradi BWANA amefanikisha njia yangu; nipeni ruhusa niende kwa bwana wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema56 Lakini yeye akasema, “Tafadhali, msinicheleweshe, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu amekwisha fanikisha safari yangu; naomba mniruhusu kurudi kwa bwana wangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND56 Lakini yeye akasema, “Tafadhali, msinicheleweshe, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu amekwisha fanikisha safari yangu; naomba mniruhusu kurudi kwa bwana wangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza56 Lakini yeye akasema, “Tafadhali, msinicheleweshe, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu amekwisha fanikisha safari yangu; naomba mniruhusu kurudi kwa bwana wangu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu56 Lakini yule mtumishi akawaambia, “Msinicheleweshe, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amefanikisha safari yangu. Nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu56 Lakini yule mtumishi akawaambia, “Msinicheleweshe, kwa kuwa bwana amefanikisha safari yangu, nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI56 Naye akawaambia, Msinikawilishe, mradi BWANA amefanikisha njia yangu; nipeni ruhusa niende kwa bwana wangu. Tazama sura |