Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:5 - Swahili Revised Union Version

5 Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;

Tazama sura Nakili




Luka 10:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.


na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.


Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri Habari Njema ya amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu.


na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo