Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:6 - Swahili Revised Union Version

6 na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.

Tazama sura Nakili




Luka 10:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nilijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu.


Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.


Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;


Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mfanya kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihamahame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Sasa, Bwana wa amani mwenyewe na awape amani daima kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo