Luka 10:6 - Swahili Revised Union Version6 na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu. Tazama sura |