Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:67 - Swahili Revised Union Version

Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zakaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, naye akatoa unabii, akisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho wa Mwenyezi Mungu, naye akatoa unabii, akisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:67
9 Marejeleo ya Msalaba  

Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, Na neno lake likawa ulimini mwangu.


Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, wa kiume na wa kike, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;


Ndipo BWANA akashuka ndani ya wingu, akanena naye, akatwaa sehemu ya roho iliyokuwa juu ya Musa, akaitia juu ya wale wazee sabini; ikawa, roho hiyo ilipowashukia, wakatabiri, lakini hawakufanya hivyo tena.


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.