Luka 1:68 - Swahili Revised Union Version68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu68 “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu68 “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa. Tazama sura |