Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:69 - Swahili Revised Union Version

69 Ametusimamishia pembe ya wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

69 Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

69 Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

69 Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

69 Naye ametusimamishia pembe ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

69 Naye ametusimamishia pembe ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

69 Ametusimamishia pembe ya wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi wake.

Tazama sura Nakili




Luka 1:69
23 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu wa mwamba wangu, nitamwamini yeye; Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, mnara wangu, na kimbilio langu; Mwokozi wangu, waniokoa na jeuri.


Jina lako na litukuzwe milele, kwa kusema, BWANA wa majeshi ndiye Mungu juu ya Israeli; na nyumba ya mtumishi wako, Daudi, itaimarika mbele zako.


Lakini sitauondoa ufalme wote pia; nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu niliouchagua.


BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.


Maana fahari ya nguvu zao ni Wewe, Na kwa radhi yako pembe yetu itatukuka.


Nimefanya agano na mteule wangu, Nimemuapia Daudi, mtumishi wangu.


bali watamtumikia BWANA, Mungu wao, na Daudi, mfalme wao, nitakayemwinua kwa ajili yao.


Siku ile nitawachipushia nyumba ya Israeli pembe, nami nitakujalia kufumbua kinywa kati yao; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Siku hiyo nitaiinua tena maskani ya Daudi iliyoanguka, na kuziba mahali palipobomoka; nami nitayainua magofu yake, na kuyajenga kama siku za kale;


Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu.


umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;


Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo