Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:67 - Swahili Revised Union Version

67 Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

67 Zakaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, naye akatoa unabii, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

67 Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho wa Mwenyezi Mungu, naye akatoa unabii, akisema:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

67 Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,

Tazama sura Nakili




Luka 1:67
9 Marejeleo ya Msalaba  

Roho ya BWANA ilinena ndani yangu, Na neno lake likawa ulimini mwangu.


Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, wa kiume na wa kike, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;


Ndipo BWANA akashuka ndani ya wingu, akanena naye, akatwaa sehemu ya roho iliyokuwa juu ya Musa, akaitia juu ya wale wazee sabini; ikawa, roho hiyo ilipowashukia, wakatabiri, lakini hawakufanya hivyo tena.


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo