Luka 1:67 - Swahili Revised Union Version67 Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza67 Zakaria, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka unabii huu: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu67 Zakaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, naye akatoa unabii, akisema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu67 Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho wa Mwenyezi Mungu, naye akatoa unabii, akisema: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI67 Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema, Tazama sura |