Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:8 - Swahili Revised Union Version

8 Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Imekuwaje basi kila mmoja wetu anawasikia wakinena kwa lugha yake ya kuzaliwa?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?

Tazama sura Nakili




Matendo 2:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kuwajulisha watu matendo yake makuu, Na utukufu wa fahari ya ufalme wake.


Na Zakaria, baba yake, akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema,


Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, Tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?


Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na Asia,


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo