Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:7 - Swahili Revised Union Version

7 Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, Tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Walistaajabu na kushangaa wakisema, “Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Walistaajabu na kushangaa wakisema, “Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Walistaajabu na kushangaa wakisema, “Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wakiwa wameshangaa na kustaajabu, wakauliza, “Je, hawa wote wanaozungumza si Wagalilaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wakiwa wameshangaa na kustaajabu wakauliza, “Je, hawa wote wanaozungumza si Wagalilaya?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, Tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?

Tazama sura Nakili




Matendo 2:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.


Punde kidogo, wale waliokuwapo wakamwendea, wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Wakashangaa wote, hata wakaulizana, wakisema, Nini hii? Ni elimu mpya! Maana kwa uweza awaamuru hata pepo wachafu, nao wamtii!


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Wakajibu, wakamwambia, Je! Wewe nawe umetoka Galilaya! Chunguza, na utaona kuwa Galilaya hakutatoka nabii.


wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake mbinguni.


Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?


Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?


Wakamtambua, ya kuwa yeye ndiye aliyekuwa akiketi na kuomba sadaka penye mlango wa hekalu uitwao Mzuri; wakawa na mshangao na kustaajabia mambo yale yaliyompata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo