Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 40:8 - Swahili Revised Union Version

Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Majani hunyauka na ua hufifia, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Majani hunyauka na ua hufifia, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Majani hunyauka na ua hufifia, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Majani hunyauka na maua huanguka, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Majani hunyauka na maua huanguka, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 40:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yamethibitika milele na milele, Yamefanywa kwa uaminifu na haki.


Tena kuhusu habari zangu, hili ndilo agano langu nao, asema BWANA; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako, wala kinywani mwa wajukuu wako, asema BWANA, tangu leo na hata milele.


Na hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu, asema BWANA, kwamba mimi nitawaadhibu ninyi mahali hapa, mpate kujua ya kuwa maneno yangu yatasimama juu yenu, kuwaletea mabaya bila shaka;


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);


Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hata milele; nawe wasemaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


Bali Neno la Bwana hudumu hata milele. Na neno hilo ni neno lile jema lililohubiriwa kwenu.