Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 13:31 - Swahili Revised Union Version

31 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili




Marko 13:31
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hilo ndilo neno la BWANA alilomwambia Yehu, akisema, Wana wako watakaa kitini mwa Israeli hata kizazi cha nne. Ikawa vivyo hivyo.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.


Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, nao wakaao ndani yake watakufa kadhalika; bali wokovu wangu utakuwa wa milele, na ukombozi wangu hautakoma kamwe.


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.


Amin, nawaambieni, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatimie.


Lakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.


Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo