Isaya 40:7 - Swahili Revised Union Version7 Majani yakauka, ua lanyauka; Kwa sababu pumzi ya BWANA yapita juu yake. Hakika watu ni majani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Majani hunyauka na ua hufifia, Mwenyezi-Mungu avumishapo upepo juu yake. Hakika binadamu ni kama majani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Majani hunyauka na ua hufifia, Mwenyezi-Mungu avumishapo upepo juu yake. Hakika binadamu ni kama majani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Majani hunyauka na ua hufifia, Mwenyezi-Mungu avumishapo upepo juu yake. Hakika binadamu ni kama majani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Majani hunyauka na maua huanguka, kwa sababu pumzi ya Mwenyezi Mungu huyapuliza. Hakika wanadamu ni majani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Majani hunyauka na maua huanguka, kwa sababu pumzi ya bwana huyapuliza. Hakika wanadamu ni majani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Majani yakauka, ua lanyauka; Kwa sababu pumzi ya BWANA yapita juu yake. Hakika watu ni majani. Tazama sura |