Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 24:35 - Swahili Revised Union Version

35 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:35
23 Marejeleo ya Msalaba  

Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu Naam, hizi zitachakaa kama nguo; Na kama mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika.


Ee BWANA, neno lako lasimama Imara mbinguni hata milele.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Mimi sitalivunja agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.


Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.


Na jeshi lote la mbinguni litafumuliwa, na mbingu zitakunjwa kama karatasi, na jeshi lao lote litanyauka kama vile jani la mzabibu linyaukavyo na kupukutika, na kama jani la mtini linyaukavyo na kupukutika.


Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.


Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, nao wakaao ndani yake watakufa kadhalika; bali wokovu wangu utakuwa wa milele, na ukombozi wangu hautakoma kamwe.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.


Hayo yote yakampata mfalme Nebukadneza.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Bali Neno la Bwana hudumu hata milele. Na neno hilo ni neno lile jema lililohubiriwa kwenu.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.


Mbingu zikaondolewa kama ukurasa ulivyokunjwa, na kila mlima na kisiwa kikahamishwa kutoka mahali pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo