Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 19:5 - Swahili Revised Union Version

Na maji ya baharini yatapunguka, na huo mto utakauka na kuwa pakavu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maji ya mto Nili yatakaushwa, nao utakauka kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maji ya mto Nili yatakaushwa, nao utakauka kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maji ya mto Nili yatakaushwa, nao utakauka kabisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maji ya mito yatakauka, chini ya mto kutakauka kwa jua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maji ya mito yatakauka, chini ya mto kutakauka kwa jua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na maji ya baharini yatapunguka, na huo mto utakauka na kuwa pakavu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 19:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;


Kwa maana maji ya Nimrimu yamekuwa mahali palipoharibika, kwa kuwa majani yamekauka, miche imenyauka, majani mabichi yamekoma.


Amenyosha mkono wake juu ya bahari, amezitikisa falme; Bwana ametoa amri katika habari za Kanaani, kuziangamiza ngome zake.


Nimechimba na kunywa maji, na kwa nyayo za miguu yangu nitaikausha mito yote ya Misri.


Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, mbona hapakuwa na mtu aliyenijibu? Je! Mkono wangu ni mfupi, hata nisiweze kukomboa? Au je! Mimi sina nguvu za kuponya? Tazama, kwa kukemea kwangu naikausha bahari, mito ya maji naifanya kuwa jangwa; samaki wao wanuka kwa sababu hapana maji, nao wafa kwa kiu.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu.


Nami nitaikausha mito, na kuiuza nchi, na kuitia katika mikono ya watu wabaya; nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa, na watu wote walio ndani yake, kwa mkono wa wageni; mimi, BWANA, nimenena neno hili.


Naye atapita kati ya bahari ya mateso, na kuyapiga mawimbi ya bahari, na vilindi vyote vya mto Nile vitakauka; na kiburi cha Ashuru kitashushwa; na fimbo ya enzi ya Misri itatoweka.


Na kama jamaa ya Misri hawakwei, wala hawaji, pia haitanyesha kwao; itakuwako tauni, ambayo BWANA atawapiga mataifa, wasiokwea ili kuadhimisha sikukuu ya Vibanda.