Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 6:25 - Swahili Revised Union Version

BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 6:25
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akainua macho yake, akamwona Benyamini, nduguye, mwana wa mama yake, akasema, Huyu ndiye ndugu yenu mdogo, mliyeniambia habari zake? Akasema, Mungu akufadhili, mwanangu.


Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako.


Maana umemfanya kuwa baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako.


Umwangaze mtumishi wako Kwa nuru ya uso wako; Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.


Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.


Mungu na atufadhili na kutubariki, Na kutuangazia uso wake.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Unielekee na kunifadhili mimi; Mpe mtumishi wako nguvu zako, Umwokoe mwana wa mjakazi wako.


Akasema, Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza jina la BWANA mbele yako; nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili; nitamrehemu yeye nitakayemrehemu.


Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana.


Na sasa, nawasihi, ombeni fadhili za Mungu, ili atupe neema; ikiwa jambo hili limetoka katika mikono yenu; Je, Atawakubali nafsi zenu? Asema BWANA wa majeshi.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu. Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.