Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 4:7 - Swahili Revised Union Version

7 Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini mimi umenijalia furaha kubwa moyoni, kuliko ya hao walio na divai na ngano kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini mimi umenijalia furaha kubwa moyoni, kuliko ya hao walio na divai na ngano kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini mimi umenijalia furaha kubwa moyoni, kuliko ya hao walio na divai na ngano kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.

Tazama sura Nakili




Zaburi 4:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, nisiaibishwe, maana nimekuita; Waaibishwe wasio haki, wanyamaze kuzimuni.


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu; Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.


Njia yake ijulikane duniani, Wokovu wake katikati ya mataifa yote.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Kwa kuwa umenifurahisha, BWANA, Kwa kazi yako; nitashangilia Kwa ajili ya matendo ya mikono yako.


Nivute nyuma yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza vyumbani mwake. Tutafurahi na kukushangilia; Tutalinena pendo lako kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.


Umeliongeza taifa, umezidisha furaha yao; Wanafurahi mbele zako, Kama furaha ya wakati wa mavuno, Kama watu wafurahivyo wagawanyapo nyara.


Furaha na shangwe zimeondoshwa, katika shamba lizaalo sana, na katika nchi ya Moabu; nami nimeikomesha divai katika mashinikizo; hapana mtu atakayekanyaga zabibu kwa shangwe; shangwe ile itakuwa si shangwe.


BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,


Nao wakatoka kwenda mashambani, wakavuna mashamba yao ya mizabibu, na kuzishindika hizo zabibu, na kufanya sikukuu, kisha wakaingia nyumbani mwa mungu wao, wakala na kunywa na kumlaani huyo Abimeleki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo