Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 4:6 - Swahili Revised Union Version

6 Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wengi husema: “Laiti tungepata tena fanaka! Utuangalie kwa wema, ee Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wengi husema: “Laiti tungepata tena fanaka! Utuangalie kwa wema, ee Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wengi husema: “Laiti tungepata tena fanaka! Utuangalie kwa wema, ee Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonesha jema lolote?” Ee Mwenyezi Mungu, tuangazie nuru ya uso wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee bwana, tuangazie nuru ya uso wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 4:6
20 Marejeleo ya Msalaba  

Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako.


Maana umemfanya kuwa baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako.


Kweli, watu wote hupita kama kivuli; Wao hujisumbua bure tu; Wanajirundikia mali wala hawajui ni nani atakayeirithi.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao, Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao; Bali mkono wako wa kulia, naam, mkono wako, Na nuru ya uso wako, kwa kuwa ulipendezwa nao.


Mungu na atufadhili na kutubariki, Na kutuangazia uso wake.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe, Ee BWANA, waendao, katika nuru ya uso wako.


Kwa nini mtoe fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.


naye ataketi kama asafishaye fedha na kuitakasa, naye atawatakasa wana wa Lawi, atawasafisha kama dhahabu na fedha; nao watamtolea BWANA dhabihu katika haki.


BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani.


Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.


Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.


Watayaita mataifa waje mlimani; Wakasongeze huko sadaka za haki; Kwa kuwa watanyonya wingi wa bahari, Na akiba zilizofichamana za mchangani.


Haya basi, ninyi msemao, Leo au kesho tutaingia katika mji fulani na kukaa humo mwaka mzima, na kufanya biashara na kupata faida;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo