Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 3:33 - Swahili Revised Union Version

Katika Merari ni jamaa ya hao Wamahli, na jamaa ya Wamushi; hizo ni jamaa za Merari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Familia za Wamahli na Wamushi zilitokana na Merari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Familia za Wamahli na Wamushi zilitokana na Merari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Familia za Wamahli na Wamushi zilitokana na Merari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika Merari ni jamaa ya hao Wamahli, na jamaa ya Wamushi; hizo ni jamaa za Merari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 3:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Merari; Mali na Mushi. Wana wa Mali; Eleazari, na Kishi.


Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.


Hizi ndizo jamaa za Lawi; jamaa ya Walibni, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya Wamala, na jamaa ya Wamushi jamaa ya Wakora. Na Kohathi alimzaa Amramu.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Na Eleazari mwana wa Haruni kuhani atakuwa mkuu wa hao wakuu wa Walawi, naye atawasimamia hao wahudumu wa mahali patakatifu.


Na hao waliohesabiwa kwao, kama hesabu ya wanaume wote, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu sita na mia mbili.


Katika habari ya wana wa Merari, utawahesabu kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao;