Hesabu 3:20 - Swahili Revised Union Version20 Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wana wa Merari kwa kufuata familia zao: Mahli na Mushi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wana wa Merari kwa kufuata familia zao: Mahli na Mushi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wana wa Merari kwa kufuata familia zao: Mahli na Mushi. Hizi zilikuwa jamaa za Walawi kulingana na koo zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Koo za Wamerari zilikuwa ni: Mahli na Mushi. Hizo zilikuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Koo za Wamerari zilikuwa ni: Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao. Tazama sura |