Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 3:19 - Swahili Revised Union Version

19 Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wana wa Kohathi kwa kufuata familia zao: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wana wa Kohathi kwa kufuata familia zao: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wana wa Kohathi kwa kufuata familia zao: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Koo za Wakohathi zilikuwa ni: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Koo za Wakohathi zilikuwa ni: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:19
18 Marejeleo ya Msalaba  

wa wana wa Kohathi; Urieli mkuu wao, na nduguze mia moja na ishirini;


Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.


Ndipo wakaondoka Walawi, Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa wana wa Wakohathi; na wa wana wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.


Huyo Amramu akamwoa Yokebedi shangazi yake; naye akamzalia Haruni, na Musa; na miaka ya maisha yake Amramu ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.


Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Na katika Kohathi ni jamaa ya Waamrami, na jamaa ya Waishari, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya hao Wauzieli; hizo ni jamaa za Wakohathi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo