Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 3:18 - Swahili Revised Union Version

18 Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni kwa kufuata familia zao: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni kwa kufuata familia zao: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni kwa kufuata familia zao: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Haya ndio yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni: Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;


Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.


Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.


Fanya hesabu za wana wa Gershoni nao, kwa nyumba za baba zao, na jamaa zao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo