Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 3:21 - Swahili Revised Union Version

21 Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Familia za Walibni na Washimei zilitokana na Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wagershoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Familia za Walibni na Washimei zilitokana na Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wagershoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Familia za Walibni na Washimei zilitokana na Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa jamaa za Wagershoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizo zilikuwa koo za Wagershoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Katika Gershoni walikuwa jamaa ya Walibni, na jamaa ya Washimei, hawa ndio jamaa za Wagershoni.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, kulingana na vizazi vyao; Gershoni, na Kohathi, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


jamaa ya nyumba ya Lawi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Shimei peke yao, na wake zao peke yao.


Hizi ndizo jamaa za Lawi; jamaa ya Walibni, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya Wamala, na jamaa ya Wamushi jamaa ya Wakora. Na Kohathi alimzaa Amramu.


Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.


Na wana wa Merari kwa jamaa zao ni Mahli, na Mushi. Hizi ndizo jamaa za Walawi kwa nyumba za baba zao.


Hao waliohesabiwa kwao, kama hesabu ya wanaume wote, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu saba na mia tano.


Fanya hesabu za wana wa Gershoni nao, kwa nyumba za baba zao, na jamaa zao;


Tena wana wa Gershoni walipata kwa kura miji kumi na mitatu katika jamaa za kabila la Isakari, na katika kabila la Asheri, na katika kabila la Naftali, na katika hiyo nusu ya kabila la Manase huko Bashani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo