Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 21:15 - Swahili Revised Union Version

Na materemko ya hizo bonde Kwenye kuteremkia maskani ya Ari, Na kutegemea mpaka wa Moabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na mteremko wa mabonde unaofika hadi mji wa Ari, na kuelekea mpakani mwa Moabu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na mteremko wa mabonde unaofika hadi mji wa Ari, na kuelekea mpakani mwa Moabu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na mteremko wa mabonde unaofika hadi mji wa Ari, na kuelekea mpakani mwa Moabu!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na miteremko ya mabonde inayofika hadi makazi ya Ari, na kuegemea mpakani mwa Moabu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na miteremko ya mabonde inayofika hadi mji wa Ari na huelekea mpakani mwa Moabu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na materemko ya hizo bonde Kwenye kuteremkia maskani ya Ari, Na kutegemea mpaka wa Moabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 21:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo juu ya Moabu. Maana katika usiku mmoja Ari wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa; maana katika usiku mmoja Kiri wa Moabu umeharibiwa kabisa na kuangamizwa.


Kwa hiyo imesemwa katika Kitabu cha Vita vya BWANA, Wahebu katika Sufa, Na bonde za Arnoni,


Maana, moto umetoka Heshboni, Umekuwa Ari ya Moabu, Mwali wa moto umetoka mji wa Sihoni; Wakuu wa mahali palipoinuka Arnoni.


Hivi leo ivuke Ari, mpaka wa Moabu;


kama walivyonifanyia hao wana wa Esau waishio Seiri, na hao Wamoabi waishio Ari; hata nivuke Yordani niingie nchi tupewayo na BWANA, Mungu wetu.


BWANA akaniambia, Usiwasumbue Wamoabi, wala usishindane nao katika mapigano; kwa kuwa sitakupa katika nchi yake kuimiliki; kwa sababu Ari nimewapa wana wa Lutu kuimiliki.