Hesabu 21:14 - Swahili Revised Union Version14 Kwa hiyo imesemwa katika Kitabu cha Vita vya BWANA, Wahebu katika Sufa, Na bonde za Arnoni, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kwa sababu hiyo, imeandikwa katika kitabu cha vita vya Mwenyezi-Mungu: “Mji wa Wahebu nchini Sufa, na mabonde ya Arnoni, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kwa sababu hiyo, imeandikwa katika kitabu cha vita vya Mwenyezi-Mungu: “Mji wa Wahebu nchini Sufa, na mabonde ya Arnoni, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kwa sababu hiyo, imeandikwa katika kitabu cha vita vya Mwenyezi-Mungu: “Mji wa Wahebu nchini Sufa, na mabonde ya Arnoni, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya Mwenyezi Mungu kinasema: “Wahebu nchini Sufa, na mabonde, Mto Arnoni, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya bwana kinasema: “…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde ya Arnoni, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Kwa hiyo imesemwa katika Kitabu cha Vita vya BWANA, Wahebu katika Sufa, Na bonde za Arnoni, Tazama sura |