Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:21 - Swahili Revised Union Version

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na mbili na mia mbili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa watu 32,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa watu 32,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa watu 32,000.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kundi lake lina watu elfu thelathini na mbili na mia mbili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kundi lake lina watu 32,200.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na mbili na mia mbili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Manase, walikuwa watu elfu thelathini na mbili na mia mbili (32,200).


Na karibu naye itakuwa kabila la Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri;


tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;


Hawa ndizo jamaa wa Manase; na waliohesabiwa kwao walikuwa ni elfu hamsini na mbili na mia saba.