Hesabu 2:20 - Swahili Revised Union Version20 Na karibu naye itakuwa kabila la Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mara tu baada ya Waefraimu litafuata kabila la Manase: Kiongozi wake akiwa Gamalieli, mwana wa Pedasuri, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mara tu baada ya Waefraimu litafuata kabila la Manase: Kiongozi wake akiwa Gamalieli, mwana wa Pedasuri, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mara tu baada ya Waefraimu litafuata kabila la Manase: kiongozi wake akiwa Gamalieli, mwana wa Pedasuri, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kabila la Manase litafuata baada ya Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kabila la Manase litafuata baada ya Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Na karibu naye itakuwa kabila la Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri; Tazama sura |