Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 2:22 - Swahili Revised Union Version

22 tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Hatimaye kabila la Benyamini: Kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Hatimaye kabila la Benyamini: Kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Hatimaye kabila la Benyamini: kiongozi wake ni Abidani, mwana wa Gideoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;

Tazama sura Nakili




Hesabu 2:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yuko Benyamini mdogo, mtawala wao; Wakuu wa Yuda, kundi lao; Wakuu wa Zabuloni; Wakuu wa Naftali.


Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na mbili na mia mbili;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na tano na mia nne.


Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Abidani mwana wa Gideoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo