Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 2:23 - Swahili Revised Union Version

23 na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na tano na mia nne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 35,400.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 35,400.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 35,400.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kundi lake lina watu elfu thelathini na tano na mia nne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kundi lake lina watu 35,400.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu thelathini na tano na mia nne.

Tazama sura Nakili




Hesabu 2:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Benyamini, walikuwa watu elfu thelathini na tano na mia nne (35,400).


tena kabila la Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;


Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu walikuwa elfu mia moja na nane na mia moja, kwa majeshi yao. Nao ndio watakaoondoka wakiwa kundi la tatu.


Hao ndio wana wa Benyamini kwa jamaa zao; na waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tano na mia sita.


Hao wana wa Benyamini walihesabiwa siku ile kutoka hiyo miji, wanaume elfu ishirini na sita waliokuwa na silaha, mbali na hao waliokaa Gibea, ambao walihesabiwa watu wateule mia saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo