Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:13 - Swahili Revised Union Version

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 59,300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 59,300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 59,300.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kundi lake lina watu elfu hamsini na tisa na mia tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kundi lake lina watu 59,300.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Simeoni, walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu (59,300).


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;


na kabila la Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;


Hawa ndizo jamaa wa Wasimeoni, watu elfu ishirini na mbili na mia mbili.