Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:23 - Swahili Revised Union Version

23 wale waliohesabiwa katika kabila la Simeoni, walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu (59,300).

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 walikuwa watu 59,300.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 walikuwa watu 59,300.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 walikuwa watu 59,300.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 wale waliohesabiwa katika kabila la Simeoni, walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu (59,300).

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanaume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Gadi, kwa kufuata vizazi vyao, jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;


Basi jina la Mwisraeli huyo aliyeuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani, aliitwa Zimri, mwana wa Salu, mkuu wa nyumba ya baba zake, katika kabila la Simeoni.


Hawa ndizo jamaa wa Wasimeoni, watu elfu ishirini na mbili na mia mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo