Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 2:12 - Swahili Revised Union Version

12 Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kisha wale watakaopiga kambi kando ya watu wa Reubeni watakuwa ni watu wa kabila la Simeoni, kiongozi wao akiwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kisha wale watakaopiga kambi kando ya watu wa Reubeni watakuwa ni watu wa kabila la Simeoni, kiongozi wao akiwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kisha wale watakaopiga kambi kando ya watu wa Reubeni watakuwa ni watu wa kabila la Simeoni, kiongozi wao akiwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kabila la Simeoni watapiga kambi karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Surishadai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kabila la Simeoni watapiga kambi karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Surishadai.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;

Tazama sura Nakili




Hesabu 2:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na sita na mia tano.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;


Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo