Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 2:14 - Swahili Revised Union Version

14 na kabila la Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hatimaye kabila la Gadi, kiongozi wao akiwa Eliasafu mwana wa Reueli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hatimaye kabila la Gadi, kiongozi wao akiwa Eliasafu mwana wa Reueli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hatimaye kabila la Gadi, kiongozi wao akiwa Eliasafu mwana wa Reueli,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 na kabila la Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;

Tazama sura Nakili




Hesabu 2:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na tano, mia sita na hamsini.


Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, mkuu wa wana wa Gadi


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Eliasafu mwana wa Deueli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo