Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 2:11 - Swahili Revised Union Version

Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na sita na mia tano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 46,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 46,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 46,500.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kundi lake lina watu elfu arobaini na sita na mia tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kundi lake lina watu 46,500.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arobaini na sita na mia tano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 2:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Reubeni, walikuwa watu elfu arubaini na sita na mia tano (46,500) mmoja mmoja.


Upande wa kusini kutakuwa na bendera ya kambi ya Reubeni kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Reubeni atakuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;


Hizi ndizo jamaa za Wareubeni; na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tatu, mia saba na thelathini.