Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:47 - Swahili Revised Union Version

Lakini Walawi kwa kulifuata kabila la baba zao hawakuhesabiwa katika watu hao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Walawi hawakuhesabiwa pamoja na yale makabila mengine,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Walawi hawakuhesabiwa pamoja na yale makabila mengine,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Walawi hawakuhesabiwa pamoja na yale makabila mengine,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Walawi kwa kulifuata kabila la baba zao hawakuhesabiwa katika watu hao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:47
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Lawi na Benyamini hakuwahesabu miongoni mwao; kwa sababu neno la mfalme limemchukiza Yoabu.


kuanzia aliye na umri wa miaka ishirini na zaidi, wote wawezao kutoka kwenda vitani katika Israeli; wewe na Haruni mtawahesabu kwa kufuata majeshi yao.


Kwa kuwa BWANA alinena na Musa, na kumwambia,


lakini uwaweke Walawi wawe juu ya maskani ya ushahidi, na juu ya vyombo vyake vyote, na juu ya vitu vyake vyote; wao wataichukua hiyo maskani, na vyombo vyake vyote; nao wataitumikia, na kupanga hema zao kwa kuizunguka maskani pande zote.


Lakini Walawi hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli; kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Basi vizazi vya Haruni na Musa, siku hiyo BWANA aliyosema na Musa katika mlima wa Sinai, ni hivi.


Kisha BWANA akanena na Musa huko katika jangwa la Sinai, na kumwambia,


Uwahesabu wana wa Lawi kwa kufuata nyumba za baba zao na jamaa zao; kila mwanamume kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi utawahesabu.


Kwa amri ya BWANA, walihesabiwa kwa mkono wa Musa, kila mtu kwa utumishi wake, na kama mzigo wake ulivyokuwa; ndivyo walivyohesabiwa na yeye, kama BWANA alivyomwagiza Musa.