Hesabu 3:1 - Swahili Revised Union Version1 Basi vizazi vya Haruni na Musa, siku hiyo BWANA aliyosema na Musa katika mlima wa Sinai, ni hivi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Wafuatao ndio wazawa wa Aroni na Mose wakati Mwenyezi-Mungu alipozungumza na Mose mlimani Sinai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Wafuatao ndio wazawa wa Aroni na Mose wakati Mwenyezi-Mungu alipozungumza na Mose mlimani Sinai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Wafuatao ndio wazawa wa Aroni na Mose wakati Mwenyezi-Mungu alipozungumza na Mose mlimani Sinai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Hivi ndivyo vizazi vya Haruni na Musa kwa wakati ambao Mwenyezi Mungu alizungumza na Musa katika Mlima Sinai. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Hii ni hesabu ya jamaa ya Haruni na Musa kwa wakati ambao bwana alizungumza na Musa katika Mlima Sinai. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Basi vizazi vya Haruni na Musa, siku hiyo BWANA aliyosema na Musa katika mlima wa Sinai, ni hivi. Tazama sura |