Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 5:27 - Swahili Revised Union Version

TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

TEKELI maana yake, wewe umepimwa katika mizani, nawe ukaonekana huna uzito wowote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

TEKELI maana yake, wewe umepimwa katika mizani, nawe ukaonekana huna uzito wowote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

TEKELI maana yake, wewe umepimwa katika mizani, nawe ukaonekana huna uzito wowote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na kuonekana umepungua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Tekel ni kwamba: Umepimwa kwa mizani, ukaoneka kuwa mwepesi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 5:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

(Na nipimwe katika mizani iliyo sawasawa, Ili Mungu aujue uelekevu wangu);


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Njia zote za mtu ni safi machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huzipima roho za watu.


Kila njia ya mtu ni sawa machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huipima mioyo.


Watu watawaita taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.


Nawe, mwanadamu, ujipatie upanga mkali, kama wembe wa kinyozi ujipatie, ukaupitishe juu ya kichwa chako na ndevu zako; kisha ujipatie mizani ya kupimia, ukazigawanye nywele hizo.


Tena BWANA ametoa amri katika habari zako, ya kwamba asiwepo tena mtu awaye yote mwenye jina lako; toka nyumba ya miungu yako nitakatilia mbali sanamu ya kuchora, na sanamu ya kuyeyusha; nitakufanyia kaburi lako; kwa maana u mbovu.


Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani.