Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 5:24 - Swahili Revised Union Version

Lakini hukumu na iteremke kama maji, na haki kama maji makuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini acheni haki itiririke kama maji, uadilifu uwe kama mto usiokauka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini acheni haki itiririke kama maji, uadilifu uwe kama mto usiokauka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini acheni haki itiririke kama maji, uadilifu uwe kama mto usiokauka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini acheni haki itiririke kama mto, na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini acheni haki itiririke kama mto, na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hukumu na iteremke kama maji, na haki kama maji makuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 5:24
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.


Bwana MUNGU asema hivi; Na iwatoshe ninyi, enyi wakuu wa Israeli; ondoeni dhuluma na unyang'anyi; fanyeni hukumu na haki; acheni kutoza kwenu kwa nguvu katika watu wangu, asema Bwana MUNGU.


Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.


Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.


Ninyi mnaogeuza hukumu kuwa uchungu, na kuiangusha haki chini,


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!