Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:44 - Swahili Revised Union Version

Basi akawaandalia, nao wakala, wakasaza, sawasawa na neno la BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtumishi wake akawaandalia chakula, wakala wote wakashiba, na kingine kikabaki, kama Mwenyezi-Mungu alivyosema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtumishi wake akawaandalia chakula, wakala wote wakashiba, na kingine kikabaki, kama Mwenyezi-Mungu alivyosema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtumishi wake akawaandalia chakula, wakala wote wakashiba, na kingine kikabaki, kama Mwenyezi-Mungu alivyosema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi akaiandaa mbele yao ile mikate, wakala na baadhi yake wakasaza, sawasawa na neno la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi akaiandaa mbele yao ile mikate, wakala na baadhi yake wakasaza, sawasawa na neno la bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akawaandalia, nao wakala, wakasaza, sawasawa na neno la BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:44
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate makanda saba, yamejaa.


Wakala, wakashiba wote; na katika vile vipande vilivyowabakia walikusanya vikapu kumi na viwili.


Basi wakavikusanya, wakajaza vikapu kumi na viwili, vipande vya mikate mitano ya shayiri vilivyowabakia wale waliokula.