Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 5:22 - Swahili Revised Union Version

Lakini wakapanda hao Wafilisti tena mara ya pili, wakajitawanya bondeni mwa Warefai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa mara ya pili, Wafilisti walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa mara ya pili, Wafilisti walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa mara ya pili, Wafilisti walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wakapanda hao Wafilisti tena mara ya pili, wakajitawanya bondeni mwa Warefai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 5:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na vita tena kati ya Wafilisti na Israeli; Daudi akashuka mpaka Gobu, na watumishi wake pamoja naye, akapigana na Wafilisti; naye Daudi akaishiwa na nguvu.


Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka, wakamwendea Daudi wakati wa mavuno mpaka pango la Adulamu, na kikosi cha Wafilisti walikuwa wamefanya kambi katika bonde la Warefai.


Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya bondeni mwa Warefai.


Naye yule nabii akamjia mfalme wa Israeli, akamwambia, Nenda, kusanya nguvu zako, ujue, na kuangalia ufanyavyo; kwa maana mwakani mfalme wa Shamu atakuja juu yako.


Lakini hao Wafilisti wakajitawanya tena mara ya pili bondeni.


Tena itakuwa kama hapo mvunaji ashikapo mabua ya ngano, na mkono wake ukatapo masuke; tena itakuwa kama hapo mtu aokotapo masuke katika bonde la Warefai.


kisha mpaka ukaendelea karibu na bonde la mwana wa Hinomu, na kufika ubavuni mwa huyu Myebusi upande wa kusini (ndio Yerusalemu); kisha mpaka ukaendelea hata kilele cha mlima ulio pale mkabala wa bonde la Hinomu upande wa magharibi, lililo pale mwisho wa bonde la Warefai upande wa kaskazini;