Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 5:18 - Swahili Revised Union Version

18 Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya bondeni mwa Warefai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wafilisti walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wafilisti walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wafilisti walifika na kujitawanya kwenye Bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya bondeni mwa Warefai.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 5:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwaka wa kumi na nne akaja Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja naye, wakawapiga Warefai katika Ashteroth-karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, na Waemi katika Shawe-kiryathaimu,


Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka, wakamwendea Daudi wakati wa mavuno mpaka pango la Adulamu, na kikosi cha Wafilisti walikuwa wamefanya kambi katika bonde la Warefai.


Lakini wakapanda hao Wafilisti tena mara ya pili, wakajitawanya bondeni mwa Warefai.


Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka mwambani, wakamwendea Daudi, hadi pango la Adulamu; na jeshi la Wafilisti walikuwa wamefanya kambi bondeni mwa Warefai.


Tena itakuwa kama hapo mvunaji ashikapo mabua ya ngano, na mkono wake ukatapo masuke; tena itakuwa kama hapo mtu aokotapo masuke katika bonde la Warefai.


kisha mpaka ukaendelea karibu na bonde la mwana wa Hinomu, na kufika ubavuni mwa huyu Myebusi upande wa kusini (ndio Yerusalemu); kisha mpaka ukaendelea hata kilele cha mlima ulio pale mkabala wa bonde la Hinomu upande wa magharibi, lililo pale mwisho wa bonde la Warefai upande wa kaskazini;


Yoshua akawaambia, Kwa kuwa wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni, ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi, na ya hao Warefai; maana hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi.


kisha mpaka uliteremka hadi mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu, lililo pale katika bonde la Warefai, upande wa kaskazini; nao ukateremkia mpaka bonde la Hinomu, hadi ubavuni mwa Myebusi upande wa kusini, kisha ukateremka hadi Enrogeli,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo