2 Samueli 5:19 - Swahili Revised Union Version19 Basi Daudi akauliza kwa BWANA, akisema, Je! Nipande juu ya Wafilisti? Utawatia mkononi mwangu? Naye BWANA akamwambia Daudi, Panda; kwa kuwa hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Basi, Daudi alimwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Daudi, “Nenda, maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 kwa hiyo Daudi akamuuliza Mwenyezi Mungu, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Mwenyezi Mungu akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 kwa hiyo Daudi akamuuliza bwana, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” bwana akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Basi Daudi akauliza kwa BWANA, akisema, Je! Nipande dhidi ya Wafilisti? Utawatia mkononi mwangu? Naye BWANA akamwambia Daudi, Panda; kwa kuwa hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako. Tazama sura |