Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 2:26 - Swahili Revised Union Version

Nimewaandikia haya kuhusu habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimewaandikia haya kuhusu habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 2:26
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Kwa sababu hiyo, kwa sababu wameshawishi watu wangu, wakisema, Amani; wala hapana amani; na mtu mmoja ajengapo ukuta, tazama, waupaka chokaa isiyokorogwa vema;


kwa maana watajitokeza Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, watatoa ishara na maajabu, wapate kuwadanganya, ikiwezekana, hata hao wateule.


Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine wataikana imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;


Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga Kristo.