Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 2:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani, uzima wa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: Uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: Uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani uzima wa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani, uzima wa milele.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:25
25 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, wengi wa hao wanaolala katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.


asiyepokea zaidi mara nyingi katika wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.


Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.


Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo.


ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye anao uzima wa milele.


Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Basi Simoni Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.


Lakini kwa ajili hii nilipata rehema, ili katika mimi wa kwanza, Yesu Kristo audhihirishe uvumilivu wake wote; niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini baadaye, wapate uzima wa milele.


Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi wengi.


huku wakijiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


ili tukihesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.


(na uzima huo ulidhihirika, nasi tumeona, tena tunashuhudia, na kuwahubiria ninyi ule uzima wa milele, uliokuwa kwa Baba, ukadhihirika kwetu);


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


jilindeni katika upendo wa Mungu, huku mkingojea rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo, hata mpate uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo