Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 2:26 - Swahili Revised Union Version

26 Nimewaandikia haya kuhusu habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Nimewaandikia haya kuhusu habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 2:26
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Kwa sababu hiyo, kwa sababu wameshawishi watu wangu, wakisema, Amani; wala hapana amani; na mtu mmoja ajengapo ukuta, tazama, waupaka chokaa isiyokorogwa vema;


kwa maana watajitokeza Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, watatoa ishara na maajabu, wapate kuwadanganya, ikiwezekana, hata hao wateule.


Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine wataikana imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;


Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo