Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 18:9 - Swahili Revised Union Version

Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 18:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akaona uso wa Labani, ya kuwa hakumtazama vema kama hapo awali.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.


wala msimpe Ibilisi nafasi.


Ndugu, msinung'unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.


Ikawa siku ya pili yake, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamjia Sauli kwa nguvu, naye akatabiri ndani ya nyumba. Basi Daudi alikuwa akipiga kinubi kwa mkono wake kama siku zote; naye Sauli alikuwa na mkuki mkononi mwake.


Basi Sauli akaghadhibika sana, na maneno haya yakamchukiza; akasema, Wamempa Daudi makumi elfu, na mimi wamenipa elfu tu; kuna nini tena awezayo kupata, isipokuwa ni ufalme?


Kisha Sauli akasema na mwanawe Yonathani, tena na watumishi wake wote, kwamba wamwue Daudi.