Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 15:4 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Sauli akawaita watu, akawahesabu huko Telemu, askari wa miguu elfu mia mbili na watu elfu kumi wa Yuda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli akaliita jeshi lake, akalikagua huko Telaimu. Kulikuwa na askari wa miguu 200,000 kutoka Israeli na 10,000 kutoka Yuda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli akaliita jeshi lake, akalikagua huko Telaimu. Kulikuwa na askari wa miguu 200,000 kutoka Israeli na 10,000 kutoka Yuda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli akaliita jeshi lake, akalikagua huko Telaimu. Kulikuwa na askari wa miguu 200,000 kutoka Israeli na 10,000 kutoka Yuda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Sauli akawaita watu na kuwapanga huko Telaimu, askari wa miguu elfu mia mbili, na elfu kumi kutoka Yuda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Sauli akawaita watu na kuwapanga huko Telaimu, askari wa miguu 200,000 pamoja na watu 10,000 kutoka Yuda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Sauli akawaita watu, akawahesabu huko Telemu, askari wa miguu elfu mia mbili na watu elfu kumi wa Yuda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 15:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka wakati ule ule mfalme Yoramu katika Samaria, akawahesabu Israeli wote.


Zifu, Telemu, Bealothi;


Naye akawahesabu huko Bezeki; Waisraeli walikuwa elfu mia tatu, na Wayuda elfu thelathini.


Basi Samweli akaondoka, akapanda kutoka Gilgali mpaka Gibea ya Benyamini. Naye Sauli akawahesabu watu waliokuwapo pamoja naye, wakawa kama mia sita.


Sauli akaufikia mji wa Amaleki, akauvizia bondeni.