Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 15:5 - Swahili Revised Union Version

5 Sauli akaufikia mji wa Amaleki, akauvizia bondeni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye mji wa Amaleki, wakawa wakivizia kwenye bonde.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Sauli akaenda katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Sauli akaenda katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Sauli akaufikia mji wa Amaleki, akauvizia bondeni.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 15:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akatwaa watu kama elfu tano, akawaweka kuotea kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa huo mji.


Akawaagiza, akasema, Angalieni, mtaotea kuuvizia ule mji, upande wa nyuma wa mji; msiende mbali sana na mji, lakini kaeni tayari nyote;


Ndipo Sauli akawaita watu, akawahesabu huko Telemu, askari wa miguu elfu mia mbili na watu elfu kumi wa Yuda.


Sauli akawaambia Wakeni, Haya! Nendeni zenu, mkashuke ili kujitenga na Waamaleki, nisije nikawaangamiza ninyi pamoja nao; maana mliwatendea wana wa Israeli mema, walipopanda kutoka Misri. Basi hao Wakeni wakaondoka, wakajitenga na Waamaleki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo