Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:8 - Swahili Revised Union Version

Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu Wakitaja jina langu katika laana zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchana kutwa maadui zangu wananisimanga, wanaonidhihaki hutumia jina langu kulaania.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki; wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki, wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Adui zangu wananilaumu mchana kutwa; Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu Wakitaja jina langu katika laana zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?


Kwa sababu ya sauti ya adui, Kwa sababu ya dhuluma yake yule mwovu. Kwa maana wananitupia uovu, Na kwa ghadhabu wananiudhi.


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Nilifikiri habari za siku za kale, Miaka ya zamani zilizopita.


Ambayo adui zako wamesimanga, Ee BWANA, Naam, wamezisimanga hatua za masihi wako.


Nanyi mtaliacha jina lenu kuwa laana kwa wateule wangu. Na Bwana MUNGU atakuua; naye atawaita watumishi wake kwa jina lingine.


Tena kwa ajili yao laana itatumiwa na wafungwa wote wa Yuda, walioko Babeli, kusema, BWANA akufanye uwe kama Sedekia, na kama Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwaoka motoni;


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Na mara nyingi katika masinagogi yote niliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Kwa maana Kristo naye hakujipendeza mwenyewe; bali kama ilivyoandikwa, Matusi yao waliokutusi wewe yalinipata mimi.