Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 2:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kwa nini mataifa yanafanya ghasia? Mbona watu wanafanya njama za bure?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kwa nini mataifa yanafanya ghasia? Mbona watu wanafanya njama za bure?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kwa nini mataifa yanafanya ghasia? Mbona watu wanafanya njama za bure?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na makabila ya watu kula njama bure?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?

Tazama sura Nakili




Zaburi 2:1
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawaponda kama mavumbi mbele ya upepo, Nikawatupa nje kama matope ya njiani.


Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.


Mataifa yanaghadhibika na falme kutetemeka; Anatoa sauti yake, nchi inayeyuka.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.


Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Usiisahau sauti ya watesi wako, Ghasia yao wanaokupinga inapaa daima.


Juu ya watu wako wanafanya hila, Na kushauriana juu yao uliowaficha.


Ungameni pamoja, enyi makabila ya watu, Nanyi mtavunjwa vipande vipande; Tegeni masikio, ninyi nyote wa nchi zilizo mbali; Jitahidini, nanyi mtavunjwa vipande vipande; Jitahidini, nanyi mtavunjwa vipande vipande.


Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;


Wakafurahi, wakapatana naye kumpa fedha.


Makutano wote wakaondoka wakawaendea, mahakimu wakawavua nguo zao kwa nguvu, wakatoa amri wapigwe kwa bakora.


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo